Mwenyekiti mpya yanga LLOYD NCHUNGA akiwa ofisini kwake kabla ya kuanza mazungumzo na waandishi
mazungumzo na waandishi yalianza
Mwenyekiti huyo baada ya kumaliza kazi zake za ofisini anasoma vitabu
Mwenyekiti mpya wa klabu ya YANGA LLOYD NCHUNGA amesema suala la kuanzisha radio na tv katika klabu ya YANGA lipo palepale mara baada ya kukabidhiwa ofisi na viongozi waliomaliza muda wao.
Akizungumza ofisini kwake NCHUNGA amesema mambo mengi ambayo yatafanyika katika klabu hiyo ili yanga iweze kuwa na faida nayo.
Amesema uwanja utakarabatiwa kwa kushirikiana na mfadhali YUSUPH MANJI ili uweze kutumiwa kwa mazoezi na si kwa ligi kuu tanzania bara.






0 maoni:
Post a Comment