Friday, June 14, 2013

KING CLASS MAWE AENDELEA KUJIFUA,

Bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' akinolewa na Kocha wa mcherzo huo Mohamed Chipota wakati wa mazoezi yanayoendelea katika kambi ya ngumi ILala Amana CCM Class anajiandaa na mpambano wake na Patrick  Kavako'Baunsa' wa Morogoro mpambano utakaofanyika june 16 katika ukumbi wa panandi panandi ilala bungoni jumapili hii picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Kocha wa mchezo wa masumbwi Mohamed chipota kushoto akimwelekeza bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' jinsi ya kutupa makonde wakati wa mazoezi ya kujiandaa na mchezo wake utakaofajika jumapili ya juni 16 katika ukumbi wa panandi panandi Ilala Bungoni kukabiliana na Patrick  Kavako'Baunsa' wa Morogoro picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

0 maoni:

Post a Comment

WANAOTEMBELEA KWA SIKU