Thursday, October 6, 2011

AIRTEL NA ENGEN YADHAMINI WIKI YA NENDA KWA USALAMA KAGERA

Maandamando ya pikipiki yaliyofanyika katika siku ya ufunguzi wa wiki ya usalama barabara iliyofanyika  kitafia katika mkoa wa kagera jumatatu 3/10/2011 iliyodhaminiwa mwaka huu na kampuni ya simu za mkononi ya Airtel na ENGEN Tanzania
Bendi ya kakao ya mkoani kagera ikitumbuiza  katika siku ya ufunguzi wa wiki ya usalama barabara iliyofanyika  kitafia katika mkoa wa kagera jumatatu 3/10/2011 iliyodhaminiwa mwaka huu na kampuni ya simu za mkononi ya Airtel na ENGEN Tanzania
Mwenyekiti wa  Baraza la usalama barabarani na Naibu Waziri wa mambo ya ndani Mh Hashim Kagesheki akimshukuru Meneja wa kanda ya ziwa  wa kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Ally Maswanya kwa  kuwa mdhamini mkuu wa kampeni ya usalama barabara kwa mwaka huu 2011, haya yalifanyika katika halfa ya ufunguzi  wa wiki ya usalama barabarani iliyofanyika katika mkoa wa kagera wiki hii na kuudhuriwa na mgeni Rasmi Mh Jaji mkuu Mohamed Chande (kati) pamoja na Mkuu wa mkoa wa Kagera Kanali mstaafu Fabiani masawe (wakwanza kushoto). wadhani wakuu wa mwaka huu ni kampuni ya simu za mkononi ya Airtel na kampuni ya mafuta ENGEN Tanzania
Mbele ni Meneja wa kanda ya ziwa  wa kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Ally Maswanya akipokea cheti  maalum kwa airtel kwa ushiriki na shukrani toka kwa kamati na jeshi la usalama barabarani kwa Airtel kuwa mdhamini mkuu wa kampeni ya usalama barabara  kutoka kwa mgeni Rasmi Mh Jaji mkuu Mohamed Chande katika halfa ya ufunguzi  wa wiki ya usalama barabarani  iliyofanyika  kitaifa katika mkoa wa Kagera wiki hii, wakwanza kulia pichani ni Mwenyekiti wa  Baraza la usalama barabarani na Naibu Waziri wa mambo ya ndani Mh Hashim Kageshek

0 maoni:

Post a Comment

WANAOTEMBELEA KWA SIKU