Thursday, June 27, 2013

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGA MAFUNZO YA UOFISA NA UKAGUZI MSAIDIZI WA CHUO CHA POLISI DAR LEO

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati akifunga rasmi mafunzo ya Uofisa na Ukaguzi Msaidizi wa Chuo cha Polisi cha Dar es Salaam, leo Juni 27, 2013 kwenye hafla hiyo iliyofanyika katika Chuo hicho kilichopo Kurasini jijini Dar es Salaam
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimvisha Cheo cha Heshima, Mhitimu wa Mafunzo ya Uofisa na Ukaguzi Msaidizi wa Chuo cha Polisi cha Dar es Salaam, Inspekta John Makuri Imori, wakati wa hafla ya kufunga mafunzo hayo iliyofanyika leo Juni 27, 2013 chuoni hapo jijini Dar es Salaam.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimvisha Cheo cha Heshima, Mhitimu wa Mafunzo ya Uofisa na Ukaguzi Msaidizi wa Chuo cha Polisi cha Dar es Salaam, Inspekta Leah Nicholaus Ncheyeki, wakati wa hafla ya kufunga mafunzo hayo iliyofanyika leo Juni 27, 2013 chuoni hapo jijini Dar es Salaam.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi Cheti Cheo cha Heshima, Mhitimu wa Mafunzo ya Uofisa na Ukaguzi Msaidizi wa Chuo cha Polisi cha Dar es Salaam, Akama Mohamed Shaaban, wakati wa hafla ya kufunga mafunzo hayo iliyofanyika leo Juni 27, 2013 chuoni hapo jijini Dar es Salaam.
 Askari wakipita mbele ya mgeni rasmi Makamu wa Rais, Dkt. Bilal, na kutoa heshima, wakati wa hafla ya kufunga mafunzo hayo.
  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimvisha Cheo cha Heshima, Mhitimu wa Mafunzo ya Uofisa na Ukaguzi Msaidizi wa Chuo cha Polisi cha Dar es Salaam, Inspekta Leopord Nazarius Fungu, wakati wa hafla ya kufunga mafunzo hayo iliyofanyika leo Juni 27, 2013 chuoni hapo jijini Dar es Salaam.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimvisha Cheo cha Heshima, Mhitimu wa Mafunzo ya Uofisa na Ukaguzi Msaidizi wa Chuo cha Polisi cha Dar es Salaam, Inspekta Alekunda John Urio, wakati wa hafla ya kufunga mafunzo hayo iliyofanyika leo Juni 27, 2013 chuoni hapo jijini Dar es Salaam.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimvisha Cheo cha Heshima, Mhitimu wa Mafunzo ya Uofisa na Ukaguzi Msaidizi wa Chuo cha Polisi cha Dar es Salaam, S/SGT Juma Sadiki Bahati, wakati wa hafla ya kufunga mafunzo hayo iliyofanyika leo Juni 27, 2013 chuoni hapo jijini Dar es Salaam.
Aaskari wahitimu wa mafunzo hayo akiwamo na Mwanadada, wakionyesha mchezo wa kujihami na adui wakati wa hafla ya kufunga mafunzo hayo. Picha na OMR

0 maoni:

Post a Comment

WANAOTEMBELEA KWA SIKU