Wednesday, October 30, 2013

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA KONGAMANO LA KIMATAIFA LA SERIKALI ZA MITAA KUJADILI MABADILIKO YA TABIANCHI


 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akifungua rasmi kongamano la Kimataifa la Serikali za Mitaa la kujadili Mabadiliko ya Tabianchi, lililoanza leo kwenye Hoteli ya Kunduchi Beach jijini Dar es Salaam. Picha Zote na OMR
 Sehemu ya washiriki wa Kongamano hilo, wakimsikiliza Makamu wa Rais, wakati akisoma hotuba yake ya ufunguzi huo, kwenye Hoteli ya Kunduchi Beach jijini Dar es Salaam, leo.
  Sehemu ya washiriki wa Kongamano hilo, wakimsikiliza Makamu wa Rais, wakati akisoma hotuba yake ya ufunguzi huo, kwenye Hoteli ya Kunduchi Beach jijini Dar es Salaam, leo.
 Naibu Mkurugenzi wa Idara ya Mazingira, Ofisi ya Makamu wa Rais, Richard Muyungi, akizungumza kutoa mada yake wakati wa kongamano la Kimataifa la Serikali za Mitaa la kujadili Mabadiliko ya Tabianchi, lililoanza leo kwenye Hoteli ya Kunduchi Beach jijini Dar es Salaam, lililofunguliwa na Makamu wa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa Kongamano la Kimataifa la Serikali za Mitaa la kujadili Mabadiliko ya Tabianchi, lililoanza leo kwenye Hoteli ya Kunduchi Beach jijini Dar es Salaam, baada ya kufungua rasmi Kongamano hilo.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa Kongamano la Kimataifa la Serikali za Mitaa la kujadili Mabadiliko ya Tabianchi, lililoanza leo kwenye Hoteli ya Kunduchi Beach jijini Dar es Salaam, baada ya kufungua rasmi Kongamano hilo.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akitembelea katika moja ya Banda la maonyesho baada ya kufungua rasmi kongamano la Kimataifa la Serikali za Mitaa la kujadili Mabadiliko ya Tabianchi, lililoanza leo kwenye Hoteli ya Kunduchi Beach jijini Dar es Salaam.

0 maoni:

Post a Comment

WANAOTEMBELEA KWA SIKU