Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib
Bilal, akisoma hituba yake ya uzinduzi rasmi wa sherehe za maadhimisho
ya miaka 10 ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Miaka 10 ya
Mapinduzi katika Sekta ya Mawasiliano Tanzania, yaliyozinduliwa rasmi
leo katika Ukumbi wa Mliman City,jijini Dar es Salaam.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib
Bilal, akisikiliza maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Mamlaka ya
Mawasiliano (TCRA), Prof. John Nkoma, wakati alipotembelea katika chumba
cha Mtambo wa Kufuatilia Mawasiliano ya Simu (Telecommunicatins Traffic
Monitoring System) baada ya kufungua rasmi Sherehe za uzinduzi wa
Maadhimisho ya Miaka 10 ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) leo
katika ukumbi wa Mliman City jijini Dar es Salaam. Kulia ni Waziri wa
Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Prof.Makame Mbarawa.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib
Bilal, akisikiliza maelezo kutoka kwa Mkurugenzi msaidizi Chumba cha
Mtambo wa Kufuatilia Mawasiliano ya Simu (Telecommunicatins Traffic
Monitoring System) Sunday Richard, wakati alipotembelea chumba hicho
baada ya kufungua rasmi Sherehe za uzinduzi wa Maadhimisho ya Miaka 10
ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) leo katika ukumbi wa Mliman
City jijini Dar es Salaam. Kulia ni Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na
Teknolojia, Prof.Makame Mbarawa (wa pili kulia) ni Mkurugenzi wa Mamlaka
ya Mawasiliano (TCRA), Prof. John Nkoma.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib
Bilal (katikati) akizungumza na Mkurugenzi wa Mamlaka ya Mawasiliano
(TCRA), Prof. John Nkoma (kulia) na Waziri wa Mawasiliano,Sayansi na
Teknolojia, Prof.Makame Mbarawa, nje ya Jengo la Mawasiliano baada ya
kutembelea Chumba cha Mtambo wa Kufuatilia Mawasiliano ya Simu
(Telecommunicatins Traffic Monitoring System) baada ya kufungua rasmi
Sherehe za uzinduzi wa Maadhimisho ya Miaka 10 ya Mamlaka ya Mawasiliano
Tanzania (TCRA) leo katika ukumbi wa Mliman City jijini Dar es Salaam..
Picha na OMR
0 maoni:
Post a Comment