Friday, May 9, 2014

MIYEYUSHO VS MOHAMED MATUMLA WAPIMA UZITO KUPIGANA MAY 10 JUMAMOSI P.T.A SABASABA


Mabondia Fransic Miyeyusho kushoto na Mohamed Matumla wakitunishiana msuli baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika katika ukumbi wa P.T.A Sabasaba siku ya jumamosi ya may 10 
Bondia Mohamed Matumla akipima uzito

0 maoni:

Post a Comment

WANAOTEMBELEA KWA SIKU