Mohammed Dewji Mbunge wa Singida Mjini.
Mkurugenzi wa Radio One Stereo Deogratius Rweyunga akitoa shukrani kwa kampuni ya MeTL kwa kuona umuhimu wa kuchangia ili kufanikisha mashindano hayo na kuzitaka kampuni zingine kuiga mfano huo.
“Ni vyema sisi kama watanzania tukachangia kukuza maendeleo yetu wenyewe katika michezo, na si katika soka peke yake, bali kwa michezo yote kwa ujumla”
0 maoni:
Post a Comment