Friday, March 15, 2013

KILA LA KHERI AZAM KOMBE LA SHIRIKISHO

 
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) linaitakia kila la kheri timu ya Azam kwenye mechi yake ya Kombe la Shirikisho dhidi ya Barrack Y.C. II itakayochezwa Jumapili (Machi 17 mwaka huu) nchini Liberia.

Mechi hiyo ya kwanza ya raundi ya kwanza itachezwa jijini Monravia na timu hizo kurudiana wiki mbili baadaye jijini Dar es Salaam. Ofisa Habari wa Azam yuko na timu hiyo Monrovia na anapatikana kwa namba +231888386655.

0 maoni:

Post a Comment

WANAOTEMBELEA KWA SIKU