Sunday, June 16, 2013

KING CLASS MAWE VS BAUNSA WATUNISHIANA MISURI



Bondia Parick Kavako 'Baunsa' wa Morogogo kushoto akitunishiana misuri na Ibrahimu Class 'King Class Mawe' baada ya kupima uzito Dar es salaam leo kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika kesho katikas ukumbi wa Panandi Panandi Ilala Bungoni.

Mabondia Mariam Abdallah kushoto na Lulu Kayage wakiwa wamepozi kwa ajili ya picha za mpambano wao utakaofanyika jumapili ya june 16 katika ukumbi wa Panandi panandi Ilala bungoni Dasr es salaam.

Bondia Patrick Kavako 'Baunsa' wa morogoro kushoto na Ibrahimu Class 'King Class Mawe'  wakitunisha misuli mbele ya kamera baada ya kupima uzito wao kwa ajili ya mpambano wao wa jumapili june 16  katika ukumbi wa Panandi panandi Ilala Bungoni .
Mabondia Mariam Abdallah kushoto na Lulu Kayage wakiwa wamepozi kwa ajili ya picha za mpambano wao utakaofanyika jumapili ya june 16 katika ukumbi wa Panandi panandi Ilala bungoni Dasr es salaam picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

0 maoni:

Post a Comment

WANAOTEMBELEA KWA SIKU