Friday, March 11, 2011

WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA ATEMBELEA KIWANDA CHA SUKARI MKOANI KAGERA

Waziri Mkuu, Mizengo  Pinda  akizungumza na Wakurugenzi wa Kiwanda cha Sukari cha Kagera,Nasor Seif (kushoto)  na  Seif Seif (katikati) wakati alipotembelea kiwanda hicho akiwa katika ziara ya mkoa wa Kagera Machi 10, 2011.  Kulia ni  Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani  na Mbunge wa Bukoba Mjini, Khamis Kagasheki (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua mitambo ya umwagiliaji katika shamba la miwa la kiwanda cha sukari cha Kagera wakati alipokitembelea akiwa katika ziara ya mkoa wa Kagera Machi 10, 2011. Kulia kwake  ni Mkuu  wa Mkoa  huo, Mohamed Babu. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

0 maoni:

Post a Comment

WANAOTEMBELEA KWA SIKU