Tuesday, June 21, 2011

 Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Saruji ya Tanga Cement, ErikWesterberg (kulia) akikabidhi funguo za bwalo la kulia chakula kwa Mkurugenzi wa Kituo cha Kuwahudumia Walemavu cha Amani, Padri Beatu Sewando, kilichopo Wilayani Mvomero, Morogoro jana. Msaada huo umegharim milioni 57jumla                            
 Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Saruji ya Tanga Cement, Erik Westerberg (kushoto) akishikana mikono na mmoja wa watoto wanaolelea katika Kituo cha Kuwahudumia Walemavu cha Amani, Ima Kamota katika hafla ambyo kampuni hiyo ilikabidhi msaada wa bwalo la kulia chakula na jiko hafla iliyofanyika Mvomero, Morogoro jana. Msaada huo umegharimu jumla ya shs milioni

                                        
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Saruji ya Tanga Cement, Erik Westerberg (kushoto) akishikana mikono na Mwanzilishi wa Kituo cha Kuwahudumia Walemavu cha Amani, Mama Josephine Bakita katika hafla ambyo kampuni hiyo ilikabidhi msaada wa jingo la bwalo la kuliachakula pamoja na jiko, hafla iliyofanyika Mvomero, Morogoro jana. Msaada huo umegharimu jumla ya shs milioni 57.

0 maoni:

Post a Comment

WANAOTEMBELEA KWA SIKU