Monday, June 20, 2011

WAZIRI MKUU AKUTANA NA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda aizungumza na Mdhibiti na Mkagui Mkuu wa Hesabu za Serikali, Ludovick Utouh baada ya kufungua mkutano  wa mwaka wa wakaguzi wa hesabu kwenye hoteli ya White Sands jijini Dar es salaam  Juni 20, 2011. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na  baadhi  ya washiriki wa mkutano wa Utumishi wa Umma kwenye ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es salaam Juni @0, 2011. (Piocha na Ofisi ya Wazieri Mkuu)

0 maoni:

Post a Comment

WANAOTEMBELEA KWA SIKU