Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Chakula Duniani (WFP), Bw. Ronald Sibanda ambaye alikwenda kuaga, Ofisini kwa Waziri Mkuu , Bungeni Mjini Dodoma Juni 16, 2011. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Chakula Duniani (WFP), Bw. Ronald Sibanda ambaye alikwenda kuaga, Ofisini kwa Waziri Mkuu , Bungeni Mjini Dodoma Juni 16, 2011. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akijibu maswali ya papo kwa papo, Bungeni mjini Dodoma Juni 16, 2011.(Picha na Ofisi ya Waziri MkuuWaziri Mkuu, Mizengo Pinda akijibu maswali ya papo kwa papo, Bungeni mjini Dodoma Juni 16, 2011.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji na Uwezeshaji, Dr. Mary Nagu, Bungeni Mjini Dodoma Juni 16, 2011.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu





0 maoni:
Post a Comment