Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipokea zawadi kutoka kwa kiongozi wa ujumbe wa Wabunge Kutoka Vietinam, Mheshimiwa Pham Minh Tuyen baada ya kufanya mazungumzo na ujumbe huo, ofisini kwake, Bungeni Mjini DodomaJuni 22,2011. (Picha na Ofisi ya WaziriMkuu
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Busanda, Lolesia Bukwimba kwenye viwanja vyaBunge Mjini Dodoma Juni 22, 2011. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)





0 maoni:
Post a Comment