Sunday, September 18, 2011

Wanakwaya wa kikundi cha watu  wanaoishi na UKIMWI cha Musoma kinacholelewa na Kanisa la Inland Church la Tanzania (AICT) wakiimba kuwahamasisha watu kupima afya zao katika uzinduzi wa zahanati ya kanisa hilo kwenye eneo la Bweri Mjini Musoma Septemba 17, 2011.

Wanakwaya wa kikundi cha watu  wanaoishi na UKIMWI cha Musoma kinacholelewa na Kanisa la Inland Church la Tanzania (AICT) wakiimba kuwahamasisha watu kupima afya zao katika uzinduzi wa zahanati ya kanisa hilo kwenye eneo la Bweri Mjini Musoma Septemba 17, 2011.

0 maoni:

Post a Comment

WANAOTEMBELEA KWA SIKU