Saturday, October 22, 2011

AJALI YA NDEGE ILIYO TOKEA KILOMETA 15 KUTOKA UWANJA WA NDEGE WA KIA JANA USIKU


Picha ya ndege iliyo dondoka ikitoka KIA  usiku wa jana  ambapo kulikuwa na Pilot aliye fariki dunia papo hapo anatambulika kwa jina la Ally na abiria mwengine ambae yupo KCMC kwa matibabu zaidi.

Picha na Latest news Tz Blog

0 maoni:

Post a Comment

WANAOTEMBELEA KWA SIKU