Thursday, October 27, 2011

JENGO LA TIC LAZINDULIWA MBEYA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwezeshaji na Uwekezaji), Dk. Mary Nagu akikata utepe kuzindua ofisi ya kituo cha uwekezaji (TCI) nyanda za juu kusini mjini Mbeya
Jengo la TCI Mkoani Mbeya.Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwezeshaji na Uwekezaji), Dk. Mary Nagu akikata utepe kuzindua ofisi ya kituo cha uwekezaji (TCI) nyanda za juu kusini mjini Mbeya

.Naye Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro akimkaribisha waziri  Mary Nagu alisema mkoa wake unazo fursa nyingi zikiwemo za kilimo katika Bonde la Mbarali na maeneo mengine, ufugaji, uvuvi katika ziwa Nyasa, utalii katika Hifadhi ya Taifa ya Kitulo na uchimbaji wa makaa ya mawe katika eneo la Kiwira
Baadhi ya wananchi waliohudhuria sherehe za uzinduzi wa kituo cha uwekezaji jijini Mbeya kutoka Kushoto Mbele ni Mrs Kadyanji na anaefuatia ni Mrs. Yunge na wajasilia mali wengine.

1 maoni:

DANIEL NYASEVWA said...

NAFASI ZA VYUO ZINGETOKA MAPEMA WAZAZI WAJIPANGE NI NAMNAGANI WA WAPELEKE WATOTO WAO

Post a Comment

WANAOTEMBELEA KWA SIKU