Friday, November 11, 2011

VURUGU ZA WAMACHINGA MWANJELWA

Wamachinga wakiwa Tayali kwa ajili ya Kupambana na FFU wakati wa tukio hilo
Baadhi ya wananchi wakiwa wameokoka katika eneo hilo
Wamachinga Mbali mbali wakikimbia katika eneo la tukio wakati wa machafuko hayo yamepamba moto
Polisi wakijalibu Kuzuia Ghasia katika eneo hilo na kufukuza Wamachinga
Watu Mbali Mbali wakiwa wanakimbia ili kujiokoa na Hatari katika eneo hilo

0 maoni:

Post a Comment

WANAOTEMBELEA KWA SIKU