Monday, December 19, 2011

SIMBA NA YANGA KUCHEZA NA ESCOM YA MALAWI DEC 24 NA 25 MWAKA HUU

Vilabu vya SIMBA na YANGA vitacheza mechi ya kirafiki  na timu ya ESCOM kutoka MALAWI .
Timu ya YANGA ndiyo itakuwa ya kwanza kufungua dimba na ESCOM DEC 24 wakati SIMBA itashuka dimbani DEC 25 mechi hizo zitafanyika uwanja wa Taifa Jijini DSM.
 Kiingilio katika mchezo huo chini elfu moja wakati vip elfu kumi

0 maoni:

Post a Comment

WANAOTEMBELEA KWA SIKU