Friday, May 18, 2012

PARTICK MAFISANGO AAGWA LEO KATIKA VIWANJA VYA TCC

Taifa Stars wa kwanza kushoto ni kocha wa makipa, Juma Pondamali
Katikai Kim Poulsen kocha wa Stars, kushoto Msaidizi wake Sylvester Marsh na kulia Meneja Leopold Mukebezi
Amir Maftah aliyebeba msalaba na Mwinyi Kazimoto kashika picha
kaseja akihuzunika
Jeneza la Patrick Mutesa Mafisango
Wachezaji wa timu ya taifa ya Tanzania, Shabaan Nditi, Juma Nyosso, na Bocco wakiwa wamebeba jeneza la mchezaji mwenzio Patrick Mafisango wakati likiingia katika viwanja vya TCC kwa ajili ya kuagwa kabla ya kusafirishwa kwenda kwao DRC Congo kwa ajili ya mazishi.

0 maoni:

Post a Comment

WANAOTEMBELEA KWA SIKU