Friday, June 29, 2012

RAIS KIKWETE AFUNGUA HOSTEL BAGAMOYO, AOMBOLEZA KIFO CHA MAMA MZAZI WA WAZIRI STEPHEN WASSIRA LEO

  Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akipokewa kwa shangwe alipowasili katika ukumbi wa mikutano kwenye sherehe za "Holy Ghost Congregation 20th General Chapter katika hosteli ya Misheni ya Kikatoliki ya Stella Maris leo Juni 29. 2012 huko Bagamoyo, Mkoa wa Pwani.
 Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza kama Mgeni Rasmi  kwenye sherehe za "Holy Ghost Congregation 20th General Chapter katika hosteli ya Misheni ya Kikatoliki ya Stella Maris leo Juni 29. 2012 huko Bagamoyo, Mkoa 
wa Pwani.
 Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na wenyeji wake kwenye b kwenye sherehe za "Holy Ghost Congregation 20th General Chapter katika hosteli ya Misheni ya Kikatoliki ya Stella Maris aliyoizindua leo Juni 29. 2012 huko Bagamoyo, Mkoa wa Pwani.
 Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akipozi na baadhi ya wanafunzi wa kidato cha sita wa Marian Girls Secondary school kwenye kwenye sherehe za "Holy Ghost Congregation 20th General Chapter katika hosteli ya Misheni ya Kikatoliki ya Stella Maris aliyoizindua leo Juni 29. 2012 huko Bagamoyo, Mkoa wa Pwani
 Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakitoa heshima za mwisho kwa mama wa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mhe. Stephen Wassira (kushoto) , Marehemu Esther Mgaya Mankaba, leo nyumbani kwa Mhe Wassira jijini Dar es salaam leo Juni 29, 2012. Baada ya heshima za mwisho mwili wa marehemu utasafirishwa kuelekea wilayani Bunda kw mazishi.
 Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete, Waziri Mkuu Mstaafu na Mwenyekiti wa Tume ya Katiba Jaji Joseph Sinde Waqrioba, Waziri wa Kazi na Ajira Mhe Gaudencia Kabaka, Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi wa CCMNape Nnauye, na wanafamilia wa wafiwa  wakitoa heshima za mwisho kwa mama wa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mhe. Stephen Wassira (kushoto) , Marehemu Esther Mgaya Mankaba, leo nyumbani kwa Mhe Wassira jijini Dar es salaam leo Juni 29, 2012. Baada ya heshima za mwisho mwili wa marehemu utasafirishwa kuelekea wilayani Bunda kw mazishi.

0 maoni:

Post a Comment

WANAOTEMBELEA KWA SIKU