Mkurugenzi Mkuu wa Airtel Tanzania Sam Elangalloor akiongea na
waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa promosheni ya “Jipatie Mara
5” inayowawezesha wateja wa Airtel kupata mara tano ya wastani wa
kiwango cha pesa watakayotumia kila siku .
Uzinduzi huo umefanyika leo katika ofisi za makao makuu ya Airtel
morocco. Kushoto ni Mkurugenzi wa mawasiliano wa Airtel Beatrice Singano
Mallya na kulia ni Mkurugenzi wa Masoko Cheikh Saar.
Mkurugenzi
Mkuu wa Airtel Tanzania Sam Elangalloor (katikati) pamoja Mkurugenzi wa
mawasiliano wa Airtel Beatrice Singano Mallya (kushoto) na Mkurugenzi wa Masoko Cheikh Saar (kulia) kwa pamoja wakionyesha
moja ya vipeperushi vya promosheni mpya ya “ Jipatie Mara “ wakati wa
uzinduzi wa promosheni mpya inayowawezesha wateja wa Airtel kupata mara
tano ya muda wa maongezi kutokana na wastani wa kiwango cha pesa watakayotumia kila siku. Uzinduzi huo umefanyika leo katika ofisi za makao makuu ya Airtel morocco.
Mkurugenzi wa Masoko Cheikh Saar akifafanua jambo wakati wa uzinduzi
wa promosheni ya “Jipatie Mara 5” inayowawezesha wateja wa Airtel
kupata mara tano ya wastani wa kiwango cha pesa watakayotumia kila siku.
Uzinduzi huo umefanyika leo katika ofisi za makao makuu ya Airtel
morocco. katikati ni Mkurugenzi Mkuu wa Airtel Tanzania Sam Elangalloor
akifatiwa na Mkurugenzi wa mawasiliano wa Airtel Beatrice Singano Mallya
Mkurugenzi Mkuu wa Airtel Tanzania Sam Elangalloor akiongea na
waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa promosheni ya “Jipatie Mara
5” inayowawezesha wateja wa Airtel kupata mara tano ya wastani wa
kiwango cha pesa watakayotumia kila siku ikiwa ni sawa na 500% bonus ya
muda wa maongezi. Uzinduzi huo umefanyika leo katika ofisi za makao
makuu ya Airtel morocco.
waandishi wa habari wakimsikiliza Mkurugenzi
Mkuu wa Airtel Tanzania Sam Elangalloor akiongea wakati wa uzinduzi wa
promosheni ya “Jipatie Mara 5” inayowawezesha wateja wa Airtel kupata
mara tano ya wastani wa kiwango cha pesa watakayotumia kila siku ikiwa
ni sawa na 500% bonus ya muda wa maongezi. Uzinduzi huo umefanyika leo
katika ofisi za makao makuu ya Airtel morocco.
Mkurugenzi Mkuu wa Airtel Tanzania Sam Elangalloor akiongea na
waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa promosheni ya “Jipatie Mara
5” inayowawezesha wateja wa Airtel kupata mara tano ya wastani wa
kiwango cha pesa watakayotumia kila siku ikiwa ni sawa na 500% bonus ya
muda wa maongezi. Uzinduzi huo umefanyika leo katika ofisi za makao
makuu ya Airtel morocco. pichani Mkurugenzi Mawasiliano wa Airtel
Beatrice Singano Mallya.
Mkurugenzi Mkuu wa Airtel Tanzania Sam Elangalloor akiongea na
waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa promosheni ya “Jipatie Mara
5” inayowawezesha wateja wa Airtel kupata mara tano ya wastani wa
kiwango cha pesa watakayotumia kila siku ikiwa ni sawa na 500% bonus ya
muda wa maongezi. Uzinduzi huo umefanyika leo katika ofisi za makao
makuu ya Airtel morocco. pichani Mkurugenzi wa Masoko wa Airtel Cheikh
Sarr
0 maoni:
Post a Comment