Wednesday, October 24, 2012

LIGI KUU YA GRANDMALT ZANZIBAR

  Mlinzi Othman Kibige wa Mundu akipambana na mshambuliaji wa jamhuri, Abdalla Othman Ali (mwenye mpira) jana uwanja wa Amaan.
 Mshambuliaji wa Jamhuri, Abdalla Othman Ali (kushoto) akijaribu kumpita mlinzi wa Mundu, Patrick James.
 Abdalla Othman Ali (kushoto) na Patrick James wa mundu wakiwania mpira.
Mshambuliaji Abdalla Seif Ali wa Mundu (kulia) akipambana na Abdalla Othman Ali wa Jamhuri.

Mchezo wa ligi kuu ya Grand malt ya zanzibar kati ya jamhuri ya Pemba na Mundu ya zanzibar jana kwenye uwanja wa Amaan. Jamhuri iliichapa Mundu bao 1 - 0.

0 maoni:

Post a Comment

WANAOTEMBELEA KWA SIKU