Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisikiliza maelezo kutoka kwa
Daktari Bingwa wa (kulia) macho wa Watoto, kutoka Hospitali ya Taifa
Muhimbili, ‘Optometrist’, Judith Mwenda, wakati Makamu alipokuwa
akitembelea katika Mabanda kujionea shughuli za upimaji macho kwa
watoto, wakati wa uzinduzi wa Mpango wa miaka mine wa ‘Kuona ni Kuamini’
maalum kwa ajili ya kuboresha afya ya macho kwa watoto kwa Nchi za
Kenya, Uganda na Tanzania, uliodhaminiwa na Benki ya Standard Chartered,
uliofanyika katika Viwanja vya Mnazi Mmoja, jijini Dar es Salaam, leo
Nov 20, 2012. Kushoto ni Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, TAMISEMI,
Agrey Manry, (wa tatu kushoto) ni Mtoto Abubakar Siaba Kaim, mkazi wa
Keko Mwanga, akipimwa macho.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisikiliza maelezo kutoka kwa
Dkt. Paulina Mvella, wakati akimpima mtoto, Brayan Paul (7) mkazi wa
Kigamboni, wakati Makamu alipokuwa akitembelea katika Mabanda kujionea
shughuli za upimaji macho kwa watoto, wakati wa uzinduzi wa Mpango wa
miaka mine wa ‘Kuona ni Kuamini’ maalum kwa ajili ya kuboresha afya ya
macho kwa watoto kwa Nchi za Kenya, Uganda na Tanzania, uliodhaminiwa na
Benki ya Standard Chartered, uliofanyika katika Viwanja vya Mnazi
Mmoja, jijini Dar es Salaam, leo Nov 20, 2012. Wa pili kushoto ni Naibu
Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, TAMISEMI, Agrey Manry.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati wa uzinduzi wa
Mpango wa
miaka mine wa ‘Kuona ni Kuamini’ maalum kwa ajili ya kuboresha afya ya
macho kwa watoto kwa Nchi za Kenya, Uganda na Tanzania, uliodhaminiwa na
Benki ya Standard Chartered, uliofanyika katika Viwanja vya Mnazi
Mmoja, jijini Dar es Salaam, leo Nov 20, 2012.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akitia saini maalum ikiwa ni
ishara ya uzinduzi wa Mpango wa miaka minne wa ‘Kuona ni Kuamini’ maalum
kwa ajili ya kuboresha afya ya macho kwa watoto kwa Nchi za Kenya,
Uganda na Tanzania, uliodhaminiwa na Benki ya Standard Chartered,
uliofanyika katika Viwanja vya Mnazi Mmoja, jijini Dar es Salaam, leo
Nov 20, 2012.
Shughuli ya upimaji wa macho kwa watoto, ikiendelea
katika Viwanja vya Mnazi Mmoja, wakati wa uzinduzi wa mpango huo, leo
0 maoni:
Post a Comment