Mlinzi Emanuel Albert wa Chuoni (kushoto) akiambaa na mpira, kulia ni mlinzi wa Jamhuri, Mohamed Othman Mmanga.
Kipa Issa Ali Abdalla wa Chuoni akinyaka mpira mbele ya mshambuliaji wa
Chuoni, Bakari khamis Futo (No.19). Ligi kuu ya Grand Malt ya Zanzibar.
Emanuel Albert wa Chuoni (kushoto) na mshambuliaji wa Jamhuri, Bakari
Khamis Futo wakiwania mpira, ligi kuu ya Grand Malt ya Zanzibar, uwanja
wa Amaan, jana.
Mlinzi wa Jamhuri, Hussein Rashid Khatibu (kulia) akijiandaa kupiga mpira mbele ya Emanuel Albert wa Chuoni (kushoto)
Shaffi Hassan wa Jamhuri (kushoto) akichuana na Suleiman Ali Khatibu wa Chuoni.
0 maoni:
Post a Comment