Waziri wa viwanda na biashara mh Abdala Kigoda akiwa na kaimu mkurugenzi
mkuu wa Tbs bwana Leaudi Kinabo (L) pamoja na ofisa masako mwandamizi
wa tbs wakitoka katika ukumbi wa ubungo plaza jijini Dar es salaam baada
ya ufunguzi wa semina kwa
wafanya biashara ya ufungashaji bidhaa iliyo fandaliwa na shirika la
viwango tanzania.
Meneja viwango na uhandisi wa tbs Eng Tumaini Mtitu akibadalisha mawazo
na(R) Mkurugenzi wa upimaji na ugezi Bibi Kezia Mbwambo wakati wa semina
ya ufungashaji bidhaa semina hiyo iliandaliwa na shirika la viwango
tanzania tbs
0 maoni:
Post a Comment