Meneja wa bia ya Bailimi Extra Lager Edith
Bebwa akizungumza na waandishi wa Habari jijini Mwanza juu ya
maandalizi ya fainali ya Kitaifa ya Bailimi Boat race 2012
yatakayofanyika kwenye eneo la Mwaloni Mwanza na kuvishirikisha jumla ya
vikundi kumi na sita vya wanaume na vikundi kumi vya akina mama toka
mikoa ya Kigoma,Musoma,Kagera,Mwanza na Mkoa maalum wa kimichezo wa
Ukerewe.
Meneja matukio
wa kanda ya ziwa wa TBL Erick Mwayela akizungumza na waandishi wa
Habari jijini Mwanza juu ya maandalizi ya fainali ya Kitaifa ya Bailimi
Boat race 2012 yatakayofanyika kwenye eneo la Mwaloni Mwanza na
kuvishirikisha jumla ya vikundi kumi na sita vya wanaume na vikundi kumi
vya akina mama toka mikoa ya Kigoma,Musoma,Kagera,Mwanza na Mkoa maalum
wa kimichezo wa Ukerewe.
0 maoni:
Post a Comment