Sunday, December 16, 2012

MAKAMU WA RAIS DKT BILAL AWAONGOZA WAUMINI WA KIISLAMU KUUPOKEA MWAKA MPYA WA KIISLAMU 1434 HIJRIYYA

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisoma hotuba yake wakati wa sherehe za kuupokea Mwaka mpya wa Kiislamu 1434 Hijriyya, zilizofanyika katika Ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam, leo Desemba 16, 2012.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiagana na baadhi ya waumini wa Kiislamu, baada ya kujumuika na waumini hao katika sherehe za kuupokea mwaka mpya wa Kiislamu 1434 Hijriyya, zilizofanyika kwenye Ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam, leo Desemba 16, 2012.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi zawadi, mtoto Mariam Nassor, ambaye ni miongoni mwa wanafunzi waliofanya vizuri katika masomo kwa mwaka uliopita wa Kiislma. Makamu alikabidhi zawadi hizo wakati wa sherehe za kuupokea mwaka mpya wa Kiislamu 1434 Hijriyya, zilizofanyika katika Ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam, leo Desemba 16, 2012.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi Cheti, Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum, akiwa ni mmoja kati ya watu waliofanikisha maandalizi ya sherehe hizo kuanzia mwaka uliopita wa Kiislma. Makamu alikabidhi zawadi hizo wakati wa sherehe za kuupokea mwaka mpya wa Kiislamu 1434 Hijriyya, zilizofanyika katika Ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam, leo Desemba 16, 2012.

0 maoni:

Post a Comment

WANAOTEMBELEA KWA SIKU