Mh Ritha kabatih akiongea na shirika la utangazaji la Tanzania (TBC)
akiwa nchini Burkina faso ambapo alikuwa miongini wa ujumbe uliokwenda
nchini humo kujionea faida ya kilimo cha kutumia Teknolojia ya
Uhaulishaji pamba(BT) ilivyo wanufaisha wakulima wa Burkina faso
Makontena ya liyo sheheni pamba ambayo inalimwa kwa kutumia Teknolojia
ya uhaulishaji (BT) yakiwa katika kiwanda cha kuchambulia pamba nchini
Burkina faso ziara hiyo ya mafunzo nchini Burkina faso iliandaliwa na
NEPAD pamoja na COSTECH kupitia wizara ya sayansi na teknolojia Tanzania
Mbunge wa Tanzania Mh Ritha Kabath anaonekana akiwa na rubani wa kike wa
shirika la ndege la kenya( kenya air ways) kepteni Bilha Amadi ambaye
alikuwa anaendesha ndege aina ya boing737 ambayo inafanya safari
zake kati ya nchi ya Kenya na Burkina faso ambapo ujumbe wa serekali ya
Tanzania ulikuwa miongoni mwa abiria walio panda ndege hiyo ujumbe huo
wa Tanzanaia ulikuwa una toka nchini Burkina faso kwa ajili ya mafunzo
ya kutumia Teknolojia ya uhaulishaji pamba (BT)
0 maoni:
Post a Comment