Timu ya wabunge netball na football wakiwa wameshika kikombe walipo warejea dar leo kutoka nchini Uganda. Timu ya netball waliibuka mabingwa wa afrika mashariki huku timu ya mpira wa miguu wakishika nafasi ya tatu.
USIKOSE KUANGALIA TBC 1 KILA SIKU NA KUSIKILIZA RADIO ZA TBC IKIWEMO TBC TAIFA,TBC FM NA TBC INTERNATIONAL KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI SIKILIZA TBC TAIFA SAA MOJA NA NUSU KILA SIKU
0 maoni:
Post a Comment