![]() |
MSANII OMMY DIMPOZI KUTUA MISS REDDS TABORA 2013/14 |
![]() |
Sarahy Paul mshindi wa mwaka jana 2012 |
Mashindano ya Miss Redds Tabora kukujia tena kwa sura pevu zaidi, hii ni baada ya kufanyika mashindano kama haya mwaka jana na kufanikiwa kwa kiasi kikubwa, sasa ni zamu nyingine yaliyonuwiwa kuwa na ubunifu wa kutosha kwa maandalizi kabambe yaliyofanywa tayari kuanzia sasa.
Nikiwasiliana kutoka SPAIN BARCELONA na muandaaji wa mashindano haya kwa miaka minne (4) sasa mfululizo toka akabidhiwe kutoka kwa muandaaji wa zamani Mbunge wa sasa mjini Tabora Mh. Rage chini ya V.O.T FM Mgalula Fundikira ambaye kwasasa ni wakala aliyepewa tena idhini ya kuyaandaa shindano hili kutoka kwa LINO INTERNATIONAL wenye hati na idhini ya kuandaa mashindano haya toka ngazi za vitongoji hadi mashindano makubwa ya MISS TANZANIA.
0 maoni:
Post a Comment