Wednesday, May 8, 2013

FUNDI UASHI AIBUKA MSHINDI WA MAMILIONI YA FEDHA

 Mshindi wa shilingi milioni 15 wa promosheni ya Amka Milionea Juma Ibrahim Hamza, ambaye ni  fundi uashi akilia kwa furaha na kushindwa kuongea mara baada ya kutangazwa mshindi wa shilingi milioni 15 kupitia promosheni ya Amka millionea. Airtel imewazawadia washindi wawili wa milioni 15 walioibuka washindi mwenzi March.
 Meneja Uhusiano wa Airtel Bwana Jackson Mmbando ( kushoto) akimkabithi mfano wa hundi wa shilingi milioni 15 bwana Adnan Ayub khan mara baada ya kuibuka mshindi wa mwenzi wa promosheni ya amka millionea. Akishuhudia ni Afisa masoko wa Airtel Bi Khalila Mbowe
Afisa masoko wa Airtel Bi Khalila Mbowe (kulia) akimkabithi mfano wa hundi wa shilingi milioni 15 bwana Juma Ibrahim Hamza  mara baada ya kuibuka mshindi wa mwenzi wa promosheni ya amka millionea. Akishuhudia ni Meneja Uhusiano wa Airtel Bwana Jackson Mmbando

0 maoni:

Post a Comment

WANAOTEMBELEA KWA SIKU