Monday, May 20, 2013

NGASA HUYOOOOOOOO ANAKOKUPENDA ASAINI MKATABA WA MIAKA MIWILI

 Katibu mkuu wa YANGA akimkabidhi Ngassa jezi yake baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili
Ngasa akivaa jezi yake baada ya kupewa na katibu mkuu wa YANGA.

Klabu ya yanga imemyakua mshambuliaji wa klabu ya simba Mrisho Ngass ambaye alikwenda simba kwa mkopo akitokea katika klabu ya Azam.

Ngasa amengia mkataba wa miaka miwili na Yanga na amedai hana mkataba wowote na simba anachojua yeye alikwenda kwa mkopo kutoka Azam hivyo amemaliza mkataba na ameamua kurudi katika klabu ayake ya zamani anayoipenda

0 maoni:

Post a Comment

WANAOTEMBELEA KWA SIKU