Wednesday, May 22, 2013

TAMASHA LA TABASAMU NA MINI KABAANG-MOROGORO

 Kundi la sarakasi la Bombeso likitoa burudani kwa mashabiki waliohudhuria tamasha la tabasamu na Tigo MINI KABAANG lililofanyika kwenye viwanja vya sabasaba Morogoro
 Mashabiki wakikamata T-sheti ya Tigo iliyotupwa kutoka jukwaani wakati wa tamasha la Tabasamu na Tigo MINI KABAANG lililofanyika kwenye viwanja vya sabasaba Morogoro
 Mashabiki wakishindana jukwaani kucheza wakati wa tamasha la Tabasamu na Tigo MINI KABAANG -Morogoro
 Msanii Madee kutoka kundi la TIPTOP Connection akifanya vitu vyake jukwaani huku mashabiki lukuki wakishuhudia wakati wa tamasha la Tabasamu na Tigo MINI KABAANG lililofanyika kwenye viwanja vya sabasaba Morogoro.
 Msanii maarufu wa Hiphop Roma Mkatoliki akiwapagaisha wapenzi wake katika tamasha la tabasamu na tigo Mini Kabaang lililofanyika Morogoro uwanja wa sabasaba lililofanyika kwenye viwanja vya sabasaba Morogoro
 Msanii wa kizazi kipya Faridi Kubanda aka FID Q akimkabidhi mmoja wa washabiki wako dada Manka simu na vocha katika tamasha la tabasamu na Tigo MINI KABAANG lililofanyika kwenye viwanja vya sabasaba Morogoro
Msanii wa kizazi kipya miondoko ya Hip hop maarufu kama ney wa Mitengo akimwaga burudani kwa mashabiki na wapenzi wa muziki wa kizazi kipya wakati wa tamasha la tabasamu na Tigo MINI KABAANG Morogoro

0 maoni:

Post a Comment

WANAOTEMBELEA KWA SIKU