Tuesday, June 4, 2013

SIMBA YAJIONDOA KWENYE MASHINDANO YA CECAFA

Msemaji wa simba Ezekiel Kamwaga amesema kutoka na taarifa ya serikali kuhusiana na usalama wao kuwa mdogo huko SUDAN hawatashiriki mashindano hayo mapaka waandaji wapadilishe eneo la kushiriki mashindano hayo ,

Tayari katibu mkuu wa CECAFA NICOLAUS MSONYE amethibitisha juu ya simba kutoshiriki mashindano hayo .

uamuzi wa Simba kujitoa katika mashindano hayo umekuja baada ya serikali kutangaza bungeni mjini Dodoma kuwa hauna imani na usalama nchini sudan

0 maoni:

Post a Comment

WANAOTEMBELEA KWA SIKU