Friday, September 13, 2013

GLOBAL PUBLISHERS YAKABIDHI MIL 15 MAMLAKA YA ELIMU TANZANIA

Mkurugenzi wa Global Publishers, Masha Bukumbi akimkabidhi mfano wa hundi hiyo, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu Rosemary Lulabuka. Kulia ni Meneja Mkuu wa Global Publishers Abdallah Mrisho, na kushoto ni Kaimu Mkurugenzi Ukuzaji Rasilimali (TEA), Sylvia Gunze.
Masha Bukumbi akimkabidhi Rosemary hundi halisi.
Bukumbi akiwashukuru wadau mbalimbali waliofanikisha tamasha hilo na kueleza jinsi walivyotimiza ahadi ya kuisaidia elimu hapa nchini.
Mkurugenzi Mkuu wa TEA akitoa shukrani baada ya kupokea hundi hiyo.

0 maoni:

Post a Comment

WANAOTEMBELEA KWA SIKU