Meneja
Biashara muendeshaji wa Kampuni ya Scania Nchini Tanzania, Joseph
Kayuzaa(kulia) akizungumza na waandishi wa habari(hawapo pichani) wakati wa
kutangaza kutimiza kwa miaka 40 ya huduma za Scania nchini,mkutano huo
ulifanyika Dar es Salaam jana.Kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Scania, Anders
Friberg na Mwenyekiti wa Scania Kusini mwa Afrika, Steve Wager.
0 maoni:
Post a Comment