Tuesday, November 19, 2013

RAGE ASIMAMISHWA SIMBA NA MAKOCHA KIBADENI NA JULIO WATIMULIWA

Kamati ya utendaji ya simba imemsimamisha mwenyekiti wa SIMBA RAGE na kuwafukuza makocha wote wa simba JULIO na KIBADENI.

Kaimu mwenyekiti wa Simba JOSEPH ITANGIRE amesema maamuzi hayo yamefikiwa na kamati ya utendaji ya simba hivyo wanachama wa simba siku ya mkutano mosi Desember ndiyo wataamua arudi au asirudi kutoka na kura zitakavyopigwa .

RAGE amesimamishwa baada ya kukiuka utaratibu wa kufanya mkutano November yeye akajipangia Desember wakati makocha wameshindwa kufanya vizuri mzunguko wa kwanza hivyo timu itakuwa chini ya Suleiman matola na kocha aliyekuwa anafundisha Gol maiya ya Kenya zamani

0 maoni:

Post a Comment

WANAOTEMBELEA KWA SIKU