Sunday, December 8, 2013

NATURE, MZEE YUSUF, TUNDA MAN, KHADIJA KOPA, SNURA, KR, BAMBO WAWASHA MOTO SHOO YA SAYONA TWIST DAR LIVE

CODES:
Juma Nature akiwapagawisha mashabiki wake Dar Live.
Mzee Yusuf akizikonga nyoyo za mashabiki.
Tunda Man nae akikamua.
Malkia wa Mipasho nchini, Khadija Omar Kopa akiwapagawisha mashabiki.
Snura Mushi ‘Mamaa wa Majanga’ na kundi lake wakitoa burudani.
KR Muller wa kundi la Wanaume Halisi akifanya mambo jukwaani.
Bambo akionyesha umahiri wake wa kukata mauno.
Mwanamuziki JB 'Mkuu wa Majaji' akiwapagawisha mashabiki.
Wanenguaji wa Snura wakionyesha machejo stejini.
Khadija Kopa akiserebuka.
Tunda Man akipeana ‘hi’ na mashabiki wake waliofurika Dar Live. Juma Nature (kushoto), KR (katikati) na Tunda Man wakipozi katika picha ya pamoja.
Tunda Man (kushoto) akipozi na Snura.
WASANII Juma Nature, Tunda Man, Snura, Mzee Yusuf, Malkia wa Mipasho Khadija Kopa, Bambo, JB 'Mkuu wa Majaji', usiku wa kuamkia leo ndani ya Ukumbi wa Taifa wa Burudani wa Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem, Dar waliwasha moto katika shoo ya Sayona Twist.

0 maoni:

Post a Comment

WANAOTEMBELEA KWA SIKU