Monday, December 16, 2013

TIMU YA OFISI YA MAKAMU WA RAIS YAIADHIBU ISTIQAAMA MABAO 2-1 KWAO

 Kikosi timu ya Ofisi ya Makamu wa Rais
 Kikosi cha timu ya Istiqaama
 Meza kuu ya mgeni rasmi, Balozi msaidizi wa Urusi, Vicent Kalchenko wa tatu (kulia) na baadhi ya viongozi. 
 Katibu wa Timu ya VPO, Neemia Mandia, akisalimiana na mgeni rasmi Balozi msaidizi wa Urusi, Vicent Kalchenko kabla ya kuanza kwa mtanange huo.
 Mtanange ukiendelea, (kulia) ni Sufiani Mafoto na (kushoto) ni Lucas, wakiwadhibiti wachezaji wa Istiqaama. Katika mchezo huo uliochezwa kwenye Uwanja wa Dar es Salaam Zoo Kigamboni nje kidogo ya jiji la Dar, timu ya Ofisi ya Makamu wa Rais ilishinda mabao 2-1, yaliyofungwa na Kifaru katika kipindi cha kwanza.
 Mtanange ukiendelea...
 Nahodha wa Istiqaama, Saleh Omar (katikati) akichuana kuwania mpira na beki wa VPO.
 Nahodha wa Istiqaama, Saleh Omar, akijaribu kumiliki mpira huku akizongwa na beki wa VPO.
 Neemia Mandia, akijaribu kuwatoka mabeki wa Istiqaama.
 Chenga ya mwili....
 Mandia akitimua vumbi na kumuacha beki wa Istiqaama, chini..
 Beki wa Istiqaama Amadi (kushoto) akiondosha mpira mbele ya mshambuliaji wa VPO, Sufiani Mafoto.
 Kiungo wa VPO, Kombo (kulia) akimzungusha beki wa Istiqaama, Amadi.
 Hapa hupiti......
 Wachezaji wakipongezana baada ya mtanange huo
 Chenga ya mwili.....

0 maoni:

Post a Comment

WANAOTEMBELEA KWA SIKU