Thursday, April 24, 2014

KLINIK YA AIRTEL YAANZA


Monday, April 21, 2014

WEMA SEPETU ASHINDA TUZO YA IJUMAA SEXIEST GIRL, WEUSI, WANAUME FAMILY WAFUNIKA SHOO YA PASAKA DAR LIVE

Mrembo Wema Isaac Sepetu 'Beautiful Onyinye' akiwa na tuzo yake baada ya kuibuka Ijumaa Sexiest Girl 2013/14 ndani ya Dar Live usiku wa kuamkia leo.
Wema akiwashukuru mashabiki wake waliompigia kura na hatimaye kuibuka mshindi.
...Akiwapa tano mashabiki waliofurika Dar Live katika Sikukuu ya Pasaka.
Wema, Wema, Wema... mashabiki wakimshangilia 'Beautiful Onyinye' baada ya kutangazwa mshindi.
Mhariri wa Gazeti la Ijumaa lililokuwa likiendesha shindano la Ijumaa Sexiest Girl, Amran Kaima (kulia) akipozi na mshindi Wema Sepetu. Kushoto ni shabiki wa Wema.
Amran Kaima akielezea mchakato uliotumika kumpata mshindi wa Ijumaa Sexiest Girl.
Mashabiki wakiwa wamepagawa na shangwe za Dar Live.
Mratibu Mkuu wa kampuni ya Global Publishers, Luqman Maloto akiwakaribisha Meneja Mkuu wa Global Publishers, Abdallah Mrisho na msanii Nikki wa Pili kukabidhi tuzo kwa mshindi.
Meneja Mkuu wa Global Publishers, Abdallah Mrisho akiongea machache kabla ya zoezi la utoaji tuzo.
Msanii kutoka kundi la Weusi, Nikki wa Pili akimtaja mshindi.
Wema Sepetu akiwa stejini baada ya kutangazwa mshindi.
Nikki wa Pili akimkabidhi tuzo ya Ijumaa Sexiest Girl, mrembo Wema Sepetu.
Wema akipozi na tuzo yake.
Wema akicheza wimbo wa Number One ulioimbwa na mpenzi wake Diamond Platnumz baada ya kutwaa tuzo.
Washereheshaji katika usiku wa Pasaka, Pamela Daffa na Benjamin Mwanambuu wakifanya yao stejini.
Said Fella (wa pili kushoto) akiwa na crew ya Madj ndani ya Dar Live.Dogo Aslay akiwapagawisha mashabiki wa burudani waliofurika ndani ya Dar Live.
...Aslay akijiachia na shabiki wake aliyepanda stejini kumpa sapoti.
...Akimchombeza shabiki mwingine aliyepanda stejini.
Kundi la TMK Wanaume Family likifanya vitu vyao stejini.
Mhe. Temba akiwarusha mashabiki wa Dar Live.
Chegge Chigunda 'Mtoto wa Mama Said' akizikonga nyoyo za wana Dar Live.
TMK Wanaume Family wakizidi kulishambulia jukwaa la Dar Live la kupanda na kushuka.
Wana Hip hop wa Kundi la Weusi, Joh Makini (kulia) na G-Nako wakiwapa raha mashabiki.
Mashabiki wakifuatilia shoo ya Weusi.
Joh Makini kazini.
G-Nako akiwadatisha wapenzi wa Hip hop.

Sunday, April 20, 2014

MASHINDANO YA TANZANIA MOVIE TALENTS YAANZA MKOANI MBEYA

 Mshiriki wa Tanzania Movie Talents akihojiwa mara baada ya kumaliza usaili katika Shindano la Tanzania Movie Talents linaloendelea muda huu katika Ukumbi wa Benjamin Mkapa uliopo Soko Matola Mkoani Mbeya
 
Baadhi ya washiriki waliojitokeza kwaajili ya kuhudhuria usaili wa Shindano la Tanzania Movie Talents wakijadiliana jambo kabla ya kuanza kwa usaili.
 
 Washiriki waliojitokeza kwaajili ya kushiriki mashindano yya Tanzania Movie Talents wakijaza fomu kwaajili ya usaili wa shindano la Tanzania Movie Talents linaloendelea Mkoani Mbeya ikiwa unawakilisha Kanda ya Nyanda za Juu Kusini
 Baadhi ya washiriki kutoka Kanda ya Nyanda za Juu Kusini Mkoani Mbeya wakisubiri shindano la Tanzania Movie Talents kuanza.
Kundi la Kwanza La vijana waliojitokeza kwaajili ya usaili wa Shindano la Tanzania Movie Talents linaloendelea mkoani Mbeya muda huu.Picha na Josephat Lukaza wa Proin Promotions Limited - Mbeya
Hatimaye Shindano la Tanzania Movie Talents limeanza rasmi leo katika Kanda ya Nyanda za Juu Kusini ambapo usaili huo unafanyika Mkoani Mbeya Katika Ukumbi wa Benjamini Mkapa uliopo Soko Matola Mkoani Mbeya.
Mpaka sasa Washiriki wapatao 150 wamejitokeza kwaajili ya kushiriki shindano hili la Tanzania Movie Talents ambapo washindi watatu kutoka kanda ya Nyanda za Juu Kusini watazawadiwa kitita cha Shilingi laki tano za Kitanzania na Baadae kupewa Tiketi ya Kuelekea Mkoani Dar Es Salaam kwaajili ya kushiriki fainali itakayowakutanisha Washindi waliopatikana katika Kanda ya Ziwa, Kati na kanda zilizobakia za Pwani na Kaskazini na mshindi katika fainali hiyo atajinyakulia Kitita Cha Shilingi Milioni 50 za kitanzania pamoja na Mikataba minono kutoka Kampuni ya Proin 

Promotions Limited na washindi kumi katika fainali hizo watakuwa chini ya kampuni ya Proin Promotions Limited na kuweza kutengeneza filamu ya Pamoja ambapo watanufaika na Mauzo ya filamu yao.
Mashindano ya Tanzania Movie Talents yataendelea Mkoani Mbeya kwa Siku nne ambapo siku ya jumanne washindi wa Kanda ya Nyanda za Juu Kusini watapatikana na kupewa Zawadi zao.

MIYEYUSHO HOI CHEKA ATOKA SARE


 Bondia Ibrahimu Class' King Class Mawe' kushoto akimwadhibu Mustafa Dotto wakati wa mpambano wao uliofanyika katika ukumbi wa PTA Sabasaba April 19 jijini Dar es salaam King class alishinda kwa pointi mpambano huo 
 Bondia Ibrahimu Class' King Class Mawe' kulia  akiendelea kumwadhibu Mustafa Dotto wakati wa mpambano wao uliofanyika katika ukumbi wa PTA Sabasaba April 19 jijini Dar es salaam King class alishinda kwa pointi mpambano huo

Bondia Mustafa Dotto kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Ibrahimu Class 'King Class Mawe' wakati wa mpambano wao uliofanyika PTA Sabasaba King Class alishinda kwa Point
  Bondia Ibrahimu Class' King Class Mawe' kushoto akimwadhibu Mustafa Dotto wakati wa mpambano wao uliofanyika katika ukumbi wa PTA Sabasaba April 19 jijini Dar es salaam King class alishinda kwa pointi mpambano huo picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
 FURAHA YA USHINDI
 KING CLASS MAWE AKIOJIWA BAADA YA KUIBUKA MSHINDI
 KING CLASS MAWE KATIKATI ALIEKAA AKIWA NA MARAFIKI ZAKE BAADA YA USHINDI
 KING CLASS MAWE KATIKATI ALIEKAA AKIWA NA MARAFIKI ZAKE BAADA YA USHINDI
Bondia Fransic Cheka kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Gavad Zohrehvand wa Iran wakati wa mpambano wao wa kirafiki wa kimataifa uliofanyika katika ukumbi wa PTA Sabasaba jijini Dar es salaam mpambano huo uliamliwa kwa droo ya kufungana point 
Bondia Fransic Cheka kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Gavad Zohrehvand wa Iran wakati wa mpambano wao wa kirafiki wa kimataifa uliofanyika katika ukumbi wa PTA Sabasaba jijini Dar es salaam mpambano huo uliamliwa kwa droo ya kufungana point 
Bondia Fransic Cheka kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Gavad Zohrehvand wa Iran wakati wa mpambano wao wa kirafiki wa kimataifa uliofanyika katika ukumbi wa PTA Sabasaba jijini Dar es salaam mpambano huo uliamliwa kwa droo ya kufungana point
 Bondia Sukkasem Kietyongyuth  kutoka Thailand kulia akiwa amemkalisha bondia fransic Miyeyusho katika raundi ya kwanza ya mpambano wa raundi kumi na kufanikiwa kwshinda kwa K,O 
Bondia Fransic Miyeyusho kushoto akijitutumua kupigana na  Bondia Sukkasem Kietyongyuth  kutoka Thailand  miyeyusho alipigwa raundi ya kwanza bila huruma 

Bondia Fransic Miyeyusho kushoto akijitutumua kupigana na  Bondia Sukkasem Kietyongyuth  kutoka Thailand  miyeyusho alipigwa raundi ya kwanza bila huruma 

WANAOTEMBELEA KWA SIKU