Saturday, June 30, 2012

FAINALI EURO 2012-SPAIN V ITALY; KESHO NANI MBABE

MAKOCHA_SPAIN_v_ITALY
Wote ni Makocha makini na watulivu, Vicente Del Bosque na Cesare Prandelli, lakini mmoja wao ndio ataibuka Shujaa wa Ulaya baada ya Timu zao, Spain na Italy, kucheza kwenye Fainali ya EURO 2012 Uwanja wa Olimpiki huko Kiev, Ukraine Jumapili Julai 1.

Kwa Del Bosque, Fainali hii ni kipimo dhahiri cha jinsi Nchi yake Spain ilivyotawala Soka la Dunia tangu watawale EURO 2008 na kufuatia Kombe la Dunia Mwaka 2010 na sasa wapo kwenye nafasi nzuri ya kuweka historia ya kuwa Nchi ya kwanza huko Ulaya kufanikiwa kutetea Taji lao la Ulaya tangu Mashindano hayo kuanzishwa.

Kwa Prandelli, Timu yake Italy, iliingia Fainali hizi za Ulaya bila kutegemewa kufanya maajabu yoyote lakini walianza vyema walipotoka sare ya Bao 1-1 na Spain katika Mechi ya ufunguzi ya Kundi lao la EURO 2012 Wiki 3 zilizopita.

Del Bosque ndie aliekuwa Kocha wa Real Madrid enzi za “Galactico” akiwaongoza Nyota Zinedine Zidane, Luis Figo na Straika wa Brazil Ronaldo na kuweza kufanikiwa kutwaa UEFA CHAMPIONZ LIGI mara mbili.

Akiwa na Spain inayotumia falsafa ya uchezaji wa aina ya “Tiki Taka”, ambayo kimsingi ni kutoa pasi na kuondoka, Del Bosque, mara baada ya kuibwaga Portugal kwenye Nusu Fainali kwa matuta, alisema: “Tunachotaka ni kucheza staili ya Soka ambayo tunayoiamini na kuweka historia.”

Kwa kumkosa David Villa ambae ni majeruhi, Del Bosque amelazimika kuchezesha Viungo 6 na bila Straika anaetambulika.

Kocha wa Italia Prandelli hana matatizo ya aina hiyo na bila shaka atawategemea Mastraika wake Antonio Cassano na Mario Balotelli ambao wamekuwa waking’ara huku Balotelli akipiga Bao mbili zilizowabwaga Germany 2-1 kwenye Nusu Fainali.

Mara baada ya Italy kufanya vibaya kwenye Kombe la Dunia Mwaka 2010 na kutolewa hatua ya Makundi kwa kwenda sare na Paraguay na New Zealand kisha kufungwa na Slovania, Prandelli alikabidhiwa Timu ya Italy ili kuijenga upya.

Tangu wakati huo, Timu ya Italy, chini ya Prandelli, haijafungwa kwenye Mechi yeyote ya Mashindano rasmi na kwenye hatua za mchujo za EURO 2012, Italy walishinda Mechi 8 kati ya 10 na kufunga bao 20 na kufungwa mbili tu.

13 maoni:

Anonymous said...

I was just searching for this info for some time. After 6 hours of

continuous Googleing, at last I got it in your website. I wonder what is the lack of

Google strategy that do not rank this type of informative websites in top
of the list.

Generally the top sites are full of garbage.
Here is my web site : free.fr

Anonymous said...

Normally I do not read post on blogs, but I would like to say that this


write-up very forced me to try and do so! Your writing style
has been surprised me. Thanks, quite nice

article.
Also visit my website ... http://www.undertheclassifieds.com/140/posts/14-Company-Reviews/181-Misc-Company/85913-Elche-Costa-Blanca-Spain-Spanish-property-sales.html

Anonymous said...

Hi! Do you use Twitter? I'd like to follow you if that would be

okay. I'm undoubtedly enjoying your blog and look forward to new updates.
Feel free to visit my homepage :: jobshop bournemouth

Anonymous said...

Nice post. I was checking constantly this blog and I am

inspired! Very helpful information particularly the

closing part :) I deal with such

information much. I was looking for this particular info

for a long time. Thank you and good luck.
Here is my weblog ; http://bmadisms.blogspot.com/2011/10/2011-world-series-champions.html

Anonymous said...

Hmm it appears like your site ate my first comment (it was extremely long) so I guess

I'll just sum it up what I submitted and say, I'm thoroughly enjoying your blog.
I too am an

aspiring blog blogger but I'm still new to the whole thing. Do you have any suggestions for newbie blog

writers? I'd genuinely appreciate it.
Also see my webpage: Fm cars reading

Anonymous said...

I like the valuable info you supply on your

articles. I will bookmark your weblog and take a look at once more here

regularly. I am reasonably sure

I will learn many new stuff proper right

here! Good luck for the next!
Also see my website: classifieds junkmail

Anonymous said...

Nice post. I was checking continuously this blog and I'm impressed! Very

helpful information specifically the last part :) I care for such

information a lot. I was looking for this particular information for a long time. Thank you and good luck.
Feel free to visit my web-site : http://Ferrosan.ru/forum/profile.php?mode=viewprofile&u=69113

Anonymous said...

My partner and I stumbled over here from a different
website and thought I might as well check things out.
I like what I see so now i'm following you. Look forward to exploring your web page yet again.
Here is my web site :: Cnbc spain

Anonymous said...

Unquestionably believe that which you stated.
Your favorite justification appeared

to be on the net the simplest thing to be aware of.

I say to you, I definitely get irked while people think about worries
that they plainly do not know

about. You managed to hit the nail upon the top and defined
out the whole thing without having side

effect , people could take a signal. Will likely be back to get more.
Thanks
Also see my page - golf course cypresswood spring tx

Anonymous said...

Hey! I'm at work surfing around your blog from my new iphone 3gs! Just wanted to say I love reading your blog and look forward to all your

posts! Keep up the great work!
Here is my website rne3 murcia

Anonymous said...

Thank you for sharing superb informations.
Your web-site is very cool. I'm impressed by the details that you have on this web site. It reveals how nicely you

understand this subject. Bookmarked this website page, will come back for more articles.

You, my friend, ROCK! I found simply the information I already searched everywhere

and just couldn't come across. What a great site.
My web page - http://cebecoproject.no-ip.com/

Anonymous said...

Lovely blog! I am loving it!! Will come back again.
I am taking your feeds also.
Feel free to visit my blog ; wikigezi.org

Anonymous said...

I love your blog.. very nice colors & theme. Did you create this website yourself or
did you

hire someone to do it for you? Plz answer back as I'm looking to design my own blog and

would like to know where u got this from. thank you

Review my web-site :: gamigo.Gb.net

Post a Comment

WANAOTEMBELEA KWA SIKU