Friday, January 14, 2011

FILAMU YA HOUSE NUMBER FORTY FOUR YAZINDULIWA

                     BABY MADAHA akiwa na msanii JACK wakati wa uzinduzi wa filimu ya NUMBER FORTY FOUR ,BABY ni mmoja wa washiriki katika filamu hiyo
                                      Baadhi ya washiriki wa filamu wakati wa uzinduzi

                                  Miss TANZANIA mwaka jana MIRIAM alimsindikiza mchumba wake ambaye naye ameshiriki katika filamu hiyo
                                                    Hao nao walisindikiza rafiki zao
Filamu ya HOUSE NUMBER FORTY FOUR iliyowashirikisha wasanii wa filamu wa Tanzania imezinduliwa rasmi Jijini DSM

0 maoni:

Post a Comment

WANAOTEMBELEA KWA SIKU