Mwenyekiti wa kamati ya fedha za serikali mh JONH CHEO (MB) akifunga mafunzo ya wiki moja jinsi ya usimamizi wa fedha za umma iliyo andaliwa na ofisi ya mdhibiti na mkaguzi wa fedha za umma mjini bagamoyo
John Cheyo akiwa katika picha ya pamoja na mkaguzi na mdhibitiwa fedha za serekali bwana Ludovick Utouh pamoja na mkurugenzi wa utumishi na utawala bibi Selina Lyimo baada ya kumalizika kwa mafunzo kwa kamati za hesabu za bunge jinsi ya kusimamia fedha za umma semina hiyo iliandaliwa na ofisi ya mdhibiti na mkaguzi wa fedha za serekali ilifanyikia bagamoyo
0 maoni:
Post a Comment