Sunday, February 27, 2011

MOTEMA PEMBE YA DRC ILIVYOICHAKAZA KMKM YA ZANZIBAR

                                            KMKM ilipoambulia kipigo kutoka kwa timu yq DRC
                                          Mchezo ukiendelea
 

aliyevaa kanzu, koti na baaraghashea ni kiongozi wa KMKM




mwazoni kulia ni kiongozi wa Baraza la Michezo, wa pili ni Mhe. Balozi wa Tanzania  nchini DRC Mhe. Gordon Ngilangwa, wa mwisho kabisa mwenye shati la kitenge ni waziri wa michezo wa DRC Mhe. Nyamugabo.

Mechi ya marudiano ya  kombe la CAF kati ya KMKM ya Zanzibar na DC Motema Pembe ya DRC liyochezwa katika uwanja wa Mashujaa (stade de Martys) Kinshasa katika mechi hiyo, KMKM ilifungwa mabao 2-0. Itakumbukwa kwamba katika mechi ya awali kule Zanzibar, KMKM ilifungwa magoli 4-0.



























































































































































































































































0 maoni:

Post a Comment

WANAOTEMBELEA KWA SIKU