Thursday, February 10, 2011

VYOMBO VYA HABARI KUCHUANA JUMAMOSI WIKI HII KATIKA VIWANJA VYA POSTAL KIJITONYAMA JIJINI DSM

                              Meneja uhusiano wa kampuni ya AIRTEL MUGANYIZI MUTTA akionyesha vikombe vitakavyoshindaniwa
                                    Meneja wa uhusiano wa AIRTEL MUTTA pamoja na mratibu wa tamasha hilo MAWAZO WAZIRI.

Vyombo vya habari jumamosi wiki hii vitachuana katika bonanza liloandaliwa na kampuni ya simu za mkononi AIRTEL ikiwa ni kuwakutanisha waandishi katika michezo .

0 maoni:

Post a Comment

WANAOTEMBELEA KWA SIKU