Mbunifu wa mavazi nguli nchini Mustafa Hassanali akiwa na toleo lake jipya la kiafrika ndani ya ukumbi wa Movenpick Hotel katika onyesho lake la Mamma MIA
Mwanamitindo akiwa na vazi la Mustafa Hassanali katika onyesho la Mamma MIA lililofanyika Movenpick Hotel tarehe 4 Mach
Toleo la Mustafa Hassanali lililopamba usiku wa onyesho la Mamma MIA katika viwanja vya hoteli vya Movenpick jijini.
wadau wa na wapenzi wa masuala ya ubunifu wakipata burudani katika onyesho la Mamma MIA la Mustafa Hassanali Movenpick tarehe 4 Machi





0 maoni:
Post a Comment