Friday, March 4, 2011

TIKETI ZA ELFU TATU ZACHAKACHULIWA WATU WANUNUA JUMLA BAADHI WAKOSA

                   Hapa nikizungumza na mashabiki wa soka kuhusiana na kuisha kwa tiketi za elfu tatu
                             Mashabiki wa soka wasema wamechoka kuonewa na wauzaji wa tiketi
                                       Mashabiki wa soka wakilalamika kuisha kwa tiketi za elfu tatu.

Baadhi ya mashabiki wa soka nchini wamelalamika kuisha kwa tiketi za shilingi elfu tatu kutoka na baadhi ya watu kununua nyingi ambazo baadae wanaziuza bei ya juu tofauti na kiwango kilichowekwa na TFF.

0 maoni:

Post a Comment

WANAOTEMBELEA KWA SIKU