Wednesday, June 29, 2011

TAMASHA LA WAZI LA FILAMU LAZINDULIWA RASMI TANGA



Tamasha la wazi la filamu Tanzania:  Grand Malt Open Film Festival limezinduliwa rasmi juzi katika viwanja vya Tangamano mjini Tanga,kama inayoonekana katika picha.. Wiki ya maonyesho ya wazi ya Filamu inaendelea mpaka tarehe 3 July. Maonyesho hayo ya Filamu yanafanyika kwa mara ya tatu katika historia yake

0 maoni:

Post a Comment

WANAOTEMBELEA KWA SIKU